Mwanzo 10:15-19
15
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
16
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
17
Wahivi, Waariki, Wasini,
18
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
19
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
Settings