Rukia maudhui
Mwanzo 1:2-3

Mwanzo 1:2-3

2
Wakati huu dunia ilikuwa haina umbo, tena ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alikuwa ametulia juu ya maji.
3
Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options