Skip to content
Wagalatia 6:15-16

Wagalatia 6:15-16

15
Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
16
Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options