Skip to content
Wagalatia 5:9-12

Wagalatia 5:9-12

9
“Chachu kidogo huchachua donge zima.”
10
Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani.
11
Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa.
12
Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options