Rukia maudhui
Wagalatia 5:13-15

Uhuru Katika Kristo

Wagalatia 5:13-15
13
Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo.
14
Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
15
Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options