Skip to content
Wagalatia 2:3-5

Wagalatia 2:3-5

3
Lakini hata Tito ambaye alikuwa Myunani, hakulazimika kutahiriwa.
4
Lakini kwa sababu ya ndugu wa uongo ambao walijiingiza kwa siri katikati yetu ili kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, wapate kututia utumwani,
5
hatukukubaliana nao hata dakika moja, ili kwamba ukweli wa Injili ubaki nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options