Skip to content
Wagalatia 1:8-9

Wagalatia 1:8-9

8
Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
9
Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options