Skip to content
Wagalatia 1:11-12

Wagalatia 1:11-12

11
Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
12
Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options