Skip to content
Ezekieli 34:23-24

Ezekieli 34:23-24

23
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao.
24
Mimi Bwana nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi Bwana nimenena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options