Rukia maudhui
Ezekieli 33:21-23

Habari za kuanguka kwa Yerusalemu

Ezekieli 33:21-23
21
Mwaka wa kumi na mbili wa uhamisho wetu, mwezi wa kumi, siku ya tano, mtu aliyekuwa ametoroka kutoka Yerusalemu akanijia na kusema, “Mji wa Yerusalemu umeanguka!”
22
Basi jioni kabla mtu huyo hajaja, mkono wa Bwana, ulikuwa juu yangu, naye alifungua kinywa changu kabla ya mtu yule aliyenijia asubuhi hajafika. Basi kinywa changu kilifunguliwa na sikuweza tena kunyamaza.
23
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options