Ezekieli 23:1-4
1
Neno la Bwana likanijia kusema:
2
“Mwanadamu, walikuwepo wanawake wawili, binti wa mama mmoja.
3
Wakawa makahaba huko Misri, wakajitia kwenye ukahaba tangu ujana wao. Katika nchi ile vifua vyao vya ubikira vikakumbatiwa huko na wakapoteza ubikira wao.
4
Mkubwa aliitwa Ohola na mdogo wake Oholiba. Walikuwa wangu nao wakazaa wavulana na msichana. Ohola ni Samaria, Oholiba ni Yerusalemu.
Settings