Rukia maudhui
Ezekieli 20:1-3

Wazee watafuta neno la BWANA

Ezekieli 20:1-3
1
Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa Bwana, wakaketi mbele yangu.
2
Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
3
“Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake ushauri toka kwangu, asema Bwana Mwenyezi.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options