Rukia maudhui
Ezekieli 18:8-9

Ezekieli 18:8-9

8
Hakopeshi kwa riba wala hajipatii faida ya ziada. Huuzuia mkono wake usifanye mabaya, naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.
9
Huzifuata amri zangu na kuzishika sheria zangu kwa uaminifu. Huyo mtu ni mwenye haki; hakika ataishi, asema Bwana Mwenyezi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options