Rukia maudhui
Kutoka 6:28-30

Wito Wathibitishwa Tena

Kutoka 6:28-30
28
Bwana aliponena na Mose huko Misri,
29
akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”
30
Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options