Kutoka 40:30-32
30
Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,
31
Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
32
Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.