Kutoka 36:20-23
20
Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
21
Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wa dhiraa moja na nusu,
22
zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
23
Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
Settings