Rukia maudhui
Kutoka 30:18-22

Birika la Shaba la Kuoshea

Kutoka 30:18-22
18
“Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.
19
Aroni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika hilo sinia.
20
Wakati wowote wanapoingia katika Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia madhabahu ili kuhudumu kwa kuleta sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto,
21
watanawa mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa. Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni na wazao wake kwa vizazi vijavyo.”
22
Kisha Bwana akamwambia Mose,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options