Rukia maudhui
Kutoka 2:11-12

Kutoka 2:11-12

11
Siku moja, baada ya Mose kukua, akaondoka kwenda walikokuwa watu wake, na akachunguza jinsi walivyokuwa wakifanya kazi ngumu. Akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmojawapo wa watu wake.
12
Mose akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha mchangani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options