Skip to content
Kutoka 12:49-51

Kutoka 12:49-51

49
Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
50
Waisraeli wote walifanya kama vile Bwana alivyomwagiza Mose na Aroni.
51
Siku ile ile Bwana akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options