Skip to content
Kutoka 12:48-49

Kutoka 12:48-49

48
“Mgeni aishiye miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya Bwana ni lazima wanaume wote waliomo nyumbani mwake wawe wametahiriwa, ndipo aweze kushiriki kama mzawa. Mwanaume yeyote asiyetahiriwa haruhusiwi kuila.
49
Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options