Skip to content
Kutoka 10:4-6

Kutoka 10:4-6

4
Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.
5
Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.
6
Nzige hao watajaza nyumba zako, za maafisa wako wote na za Wamisri wote. Jambo ambalo baba zenu wala babu zenu hawajapata kuona tangu siku ile walipoanza kuishi katika nchi hii mpaka leo hii.’ ” Ndipo Mose akageuka na kumwacha Farao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options