Rukia maudhui
Kutoka 1:9-10

Kutoka 1:9-10

9
Akawaambia watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa wengi mno kwa idadi kutuliko sisi.
10
Njooni, ni lazima tuwashughulikie kwa uangalifu, la sivyo watazidi kuwa wengi zaidi, na ikiwa patatokea vita, watajiunga na adui zetu kupigana dhidi yetu na kuondoka katika nchi hii.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options