Rukia maudhui
Kutoka 1:13-14

Kutoka 1:13-14

13
kwa hiyo wakawatumikisha kwa ukatili.
14
Wakafanya maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na kufyatua matofali, na kazi zote za mashambani; katika kazi zao zote ngumu, Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options