Esta 9:6-10
6
Katika ngome ya Shushani Wayahudi waliua na kuangamiza wanaume 500.
7
Pia waliwaua Parshendatha, Dalfoni, Aspatha,
8
Poratha, Adalia, Ardatha,
9
Parmashta, Arisai, Aridai na Waizatha,
10
wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui wa Wayahudi. Lakini hawakuchukua nyara.