Skip to content
Waefeso 6:5-8

Waefeso 6:5-8

5
Ninyi watumwa, watiini hao walio mabwana zenu hapa duniani kwa heshima na kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama vile mnavyomtii Kristo.
6
Watiini, si tu wakati wakiwaona ili mpate upendeleo wao, bali mtumike kama watumwa wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo.
7
Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na si wanadamu.
8
Mkijua kwamba Bwana atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options