Skip to content
Waefeso 5:21-25

Waefeso 5:21-25

21
Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.
22
Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana.
23
Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake.
24
Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.
25
Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options