Rukia maudhui
Waefeso 2:15-16

Waefeso 2:15-16

15
kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani,
16
naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options