Skip to content
Waefeso 1:1-2

Salamu na Maamkiano

Waefeso 1:1-2
1
Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu: Kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu:
2
Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options