Skip to content
Mhubiri 4:4-6

Husuda na Ubaya wa Kazi

Mhubiri 4:4-6
4
Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
5
Mpumbavu hukunja mikono yake na kujiangamiza mwenyewe.
6
Afadhali konzi moja pamoja na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu na kukimbiza upepo.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options