Skip to content
Mhubiri 4:7-8

Mhubiri 4:7-8

7
Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:
8
Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake, hakuwa na mwana wala ndugu. Hapakuwa na mwisho wa kazi yake, hata hivyo macho yake hayakutosheka na utajiri wake. Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani, nami kwa nini ninajinyima kufurahia?” Hili pia ni ubatili, ni shughuli yenye taabu!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options