Skip to content
Mhubiri 4:2-3

Mhubiri 4:2-3

2
Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.
3
Lakini aliye bora kuliko hao wawili ni yule ambaye hajazaliwa bado, ambaye hajaona ule uovu unaofanyika chini ya jua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options