Skip to content
Mhubiri 4:2-3

Mhubiri 4:2-3

2
Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.
3
Lakini aliye bora kuliko hao wawili ni yule ambaye hajazaliwa bado, ambaye hajaona ule uovu unaofanyika chini ya jua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options