Rukia maudhui
Mhubiri 10:12-15

Maneno Yaharibuyo ya Mpumbavu

Mhubiri 10:12-15
12
Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima yana neema, bali mpumbavu huangamizwa na midomo yake mwenyewe.
13
Mwanzoni maneno yake ni upumbavu, mwishoni ni wazimu mbaya,
14
naye mpumbavu huzidisha maneno. Hakuna yeyote ajuaye linalokuja, ni nani awezaye kueleza ni jambo gani litakalotokea baada yake?
15
Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe, hajui njia iendayo mjini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options