Skip to content
Kumbukumbu 32:19-21

Kumbukumbu 32:19-21

19
Bwana akaona hili, akawakataa, kwa sababu alikasirishwa na wanawe na binti zake.
20
Akasema, “Nitawaficha uso wangu, nami nione mwisho wao utakuwa nini, kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka, watoto ambao si waaminifu.
21
Wamenifanya niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu, na kunikasirisha kwa sanamu zao zisizokuwa na thamani. Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si taifa. Nitawafanya wakasirishwe na taifa lile lisilo na ufahamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options