Rukia maudhui
Kumbukumbu 30:17-18

Kumbukumbu 30:17-18

17
Lakini kama moyo wako ukigeukia mbali ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia miungu mingine na kuiabudu,
18
nakutangazia leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani kuiingia na kuimiliki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options