Rukia maudhui
Kumbukumbu 20:16-18

Sheria ya Kuangamiza Kabisa

Kumbukumbu 20:16-18
16
Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua.
17
Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama Bwana Mungu wenu alivyowaamuru.
18
La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options