Skip to content
Kumbukumbu 2:34-35

Kumbukumbu 2:34-35

34
Kwa wakati ule tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa: wanaume, wanawake na watoto. Hatukumwacha yeyote.
35
Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options