Rukia maudhui
Kumbukumbu 16:16-17

Hija za Lazima za Kila Mwaka

Kumbukumbu 16:16-17
16
Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za Bwana mikono mitupu:
17
Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo Bwana Mungu wenu alivyowabariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options