Rukia maudhui
Danieli 7:15-18

Danieli Anatafuta Maana ya Maono

Danieli 7:15-18
15
“Mimi, Danieli, nilipata mahangaiko rohoni, nayo maono yale yaliyopita ndani ya mawazo yangu yalinisumbua.
16
Nikamkaribia mmoja wa wale waliosimama pale na kumuuliza maana halisi ya haya yote. “Basi akaniambia na kunipa tafsiri ya vitu hivi:
17
‘Hao wanyama wanne wakubwa ni falme nne zitakazoinuka duniani.
18
Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options