Rukia maudhui
Amosi 4:12-13

Jitayarishe Kukutana na Mungu Wako

Amosi 4:12-13
12
“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli, na kwa sababu nitawafanyia hili, jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”
13
Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo, na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu, yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza, na kukanyaga mahali pa juu pa nchi: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options