Rukia maudhui
Amosi 1:9-10

Hukumu Dhidi ya Tiro (Foinike)

Amosi 1:9-10
9
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu, na kutokujali mapatano ya undugu,
10
Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options