Rukia maudhui
Matendo 26:17-18

Matendo 26:17-18

17
Nitakuokoa kutoka kwa watu wako na watu wa Mataifa ambao ninakutuma kwao,
18
uyafumbue macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni, na kutoka kwenye nguvu za Shetani wamgeukie Mungu, ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options