Rukia maudhui
Matendo 17:32-34

Mwitikio mchanganyiko kwa mahubiri ya Paulo

Matendo 17:32-34
32
Waliposikia habari za ufufuo wa wafu, baadhi yao wakadhihaki, lakini wengine wakasema, “Tunataka kukusikia tena ukizungumza juu ya jambo hili.”
33
Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
34
Lakini baadhi yao wakaungana naye wakaamini. Kati yao alikuwepo Dionisio, Mwareopago na mwanamke mmoja aliyeitwa Damari na wengine wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options