Skip to content
2 Timotheo 4:1-2

2 Timotheo 4:1-2

1
Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba:
2
Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options