Skip to content
2 Timotheo 4:6-8

2 Timotheo 4:6-8

6
Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia.
7
Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.
8
Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options