Skip to content
2 Timotheo 2:3-6

2 Timotheo 2:3-6

3
Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.
4
Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.
5
Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.
6
Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options