Skip to content
2 Timotheo 1:1-2

Salamu na Mamlaka ya Kitume

2 Timotheo 1:1-2
1
Paulo mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kulingana na ile ahadi ya uzima uliomo ndani ya Kristo Yesu.
2
Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba, na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options