Skip to content
2 Timotheo 1:3-5

2 Timotheo 1:3-5

3
Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika maombi yangu.
4
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
5
Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo mimi ninasadiki sasa wewe pia unayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options