Skip to content
1 Timotheo 6:20-21

1 Timotheo 6:20-21

20
Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,
21
ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani. Neema iwe nanyi. Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options