Skip to content
2 Wathesalonike 1:6-8

2 Wathesalonike 1:6-8

6
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
8
Atawaadhibu wale wasiomjua Mungu na ambao hawakuitii Injili ya Bwana wetu Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options