मुख्य मजकुरावर जा
2 Wathesalonike 1:4-7

2 Wathesalonike 1:4-7

4
Ndiyo sababu miongoni mwa makanisa ya Mungu, tunajivuna kuhusu saburi yenu na imani mliyo nayo katika mateso yote na dhiki mnazostahimili.
5
Haya yote ni uthibitisho kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na kwa sababu hiyo ninyi mtahesabiwa kwamba mnastahili kuwa wa Ufalme wa Mungu, mnaoteswa kwa ajili wake.
6
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi
7
na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options